EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Friday, October 18, 2013

IVORY COAST NA BURUNDI ZAFIKIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA KIUSALAMA



Ivory Coast na Burundi zimefikia makubaliano ya kuimarisha ushirikiano wa kiusalama kati yao.  
raia wa nch ya Ivory Coast wakiwa wamebeba bendera ya nci yao

Waziri wa Usalama wa Jamii wa Burundi amesema akiwa mjini Abidjan nchini Ivory Coast kuwa Burundi na Ivory Coast zimeazimia kuboresha ushirikiano wa kiusalama kati yao.  Akiwa ziarani nchini Ivory Coast, Waziri wa Usalama wa Jamii wa Burundi amepata fursa ya kukitembelea kikosi cha polisi wa Burundi walioko nchini Ivory Coast, katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.  Laurent Kavakure, Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Februari 21 mwaka huu, alifanya ziara nchini Ivory Coast ambapo katika mazungumzo yake na viongozi wa nchi hiyo, walijadili suala la ushirikiano katika masuala ya usalama kati ya nchi hizo mbili.

No comments:

Post a Comment