Jimama
mwenye hadhi yake ambaye ni mke wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Mary
au Mama Gilo, mkazi wa Sinza jijini Dar amekula kichapo cha kutisha
almanusra apoteze uhai baada ya kunaswa akiiba nguo kwa ajili ya Sikukuu
ya Eid El Fitr.
Tukio hilo la
aibu lililoshuhudiwa na mwandishi wetu lilijiri katika moja ya maduka
makubwa ya nguo Kariakoo, Dar mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mama Gilo ambaye anafahamika Kariakoo na Sinza, alinaswa akiiba nguo za sikukuu ikiwa ni pamoja na ‘madira’ ya kumalizia mfungo.
Katika tukio hilo
lililokusanya kadamnasi, mwanamke huyo alipigwa chabo kwenye duka la
mfanyabiashara Rehema Kessy...
MUME AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI BAADA YA KUMNYONGA MKEWE
MWANAMUME mmoja amemnyonga hadi kufa mke wake na yeye akauawa na
wananchi wenye hasira, katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Tukio hilo
lililothibitishwa na polisi wilayani hapa, lilitokea usiku wa kuamkia
juzi katika Kijiji cha Kisangwa Kata ya Mcharo, kwenye sherehe ya
ufunguzi wa nyumba ya ndugu yao.Ofisa Mtendaji wa Kata ya
Mcharo, Waziri Kingi, alimtaja mwanamke aliyeuawa kwa kunyongwa na mume
wake kuwa ni Paulina Samson Misinzo. Kingi alimtaja mwanamume huyo
ambaye pia aliuawa na wananchi wenye hasira, baada ya kukimbilia mlimani
kuwa ni Batule Masanja, mkazi wa kijiji hicho.Imeelezwa kuwa
siku ya tukio mwanamume huyo aliyekuwa...
No comments:
Post a Comment