![]() |
JORDAN HENDERSON |
Mtandao
wa kimataifa wa LFC umeripoti muda mfupi uliopita kuwa tafiti
zinaonyesha kwamba kiungo wa kati wa klabu ya Liverpool Jordan Henderson
ndiye mchezaji aliyeongoza kutembea umbali mrefu zaidi akiwa uwanjani
kwenye ligi kuu uingereza msimu huu kuliko mchezaji yeyote anayeichezea
ligi hiyo maarufu duniani.
kwa mujibu wa mtandao huo ni kwamba Henderson ametembea (106.49km)
No comments:
Post a Comment