EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Friday, October 28, 2016

BREAKING NEWS,MWIGULU NCHEMBA AMREJESHA KOCHA HANS VAN DER PLUIJM YANGA.


Mh.Mwigulu Nchemba amemrejesha kocha wa Yanga Hans Van De Pluijm ambaye alijiuzulu kuiongoza timu hiyog mapema wiki hii.

Katika mazungumzo yaliyodumu takribani siku tatu,Mchana huu Mwigulu Nchemba amefanikiwa kumrejesha kocha huyo ndani ya viunga vya jangwani na tayari kwa kuendelea na kazi yake ya Ukocha.


Hii ni mara ya pili mwigulu nchemba anafanikiwa kuweka mambo sawa ndani ya Club ya yanga,msimu uliopita alifanikiwa kumrejesha Kiungo Haruna Niyonzima kuichezea Yanga.


Ikumbukwe,Mwigulu Nchemba ni mdau wa michezo nchi na mpenzi wa soka na mwanachama wa Jangwani "Yanga"

No comments:

Post a Comment