EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Tuesday, November 27, 2012
MASIKINI SHARO RIP BROTHER
huu ndio mwili wa marehemu muigizaji nguli wa filam za vichekesho nchini TanzaniaHUSSEIN RAMADHANI al maarufu Sharomilionea, ambaye amefariki jana kwa ajali yagari iliyotokea huko muheza mkoani Tanga majira ya saa mbili usiku,marehemu huyo anatarajiwa kuzikwa kesho siku ya jumatano hukohuko mkoani tanga kwa mujibu wa maelezo toka kwa ndugu wa marehemu huyo wamesema kuwa wameamua kupandisha siku ya mazishi ili kutoa forsa ya watu wengine kuwahi tiukio hilo muhimu la kuuaga mwili wa nguli huyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment