EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Wednesday, August 20, 2014
Mwanaume Aliye Jifanya Mwanamke na Kupewa Kazi ya House Girl Akamatwa
Mwanaume mmoja huko nchini Uganda Amekamatwa baada ya Kujifanya ni
Mwanamke ili apate kazi ya House Girl, Zoezi lake hilo lilifanikiwa na
kuweza kupata hiyo kazi lakini siku zilivyozidi kwenda Boss wake ambae
ni Mama Mwenye Nyumba alishtukia mchezo na kugundua ni Mwanaume, Baada
ya kugundulika jamaa alichukua kipigo kutoka kwa Majirani , alipoulizwa
kwanini ameamua kufanya hivyo alijitetea akasema Maisha ni magumu na
kupata kazi kama mwanaume ni ngumu...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment