Club ya Barcelona,
jana imecheza mchezo wa kirafiki na klabu ya Napoli mechi iliyopigwa katika mji
wa Geneva ikiwa ni moja kati ya zile mechi za harakati Ya kujiandaa na msimu
mpa wa ligi kuu nchini Hispania na ligi mbalimbali ambazo klabuYA BARCELONA wanashiriki.
Katika mchezo wa jana Napoli ilishinda 1-0 bao pekee la
Brelim Dzemaili. Mchezo ambao Barca ilicheza bila nyota wake watatu tegemezi
kwa klabu hiyo ambao ni Lionel Messi, Neymar pamoja na Luis Suarez.
No comments:
Post a Comment