Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ufaransa amesema kuwa, Paris ina mpango wa kuongeza idadi ya wanajeshi wake katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
waziri wa mambo ya nje ufaransa |
Hadi sasa Ufaransa imeshapeleka zaidi ya wanajeshi 500 katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
No comments:
Post a Comment