EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Tuesday, July 16, 2013

RAIS OMARI AL BASHIR WA SUDANI ATOROKA NIGERIA BAADA MBINU ZA KUMKAMATA KUVUJA


 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Rais  Omari Al Bashir  wa  Sudan  jana  alilazimika  kutoroka  nchini    Nigeria  baada  ya  mikakati  ya  kumkamata  kuvuja.. Rais Bashir aliyekuwa  anahudhuria mkutano wa viongozi wa serikali za nchi za Muungano wa Afrika AU, kuhusu afya mjini Abuja amelezimika  kuukatisha  mkutano  huo na kutoroka  nchini  humo  jana  Jumatatu  kwa  hofu  ya  kukamatwa Rais  huyo  ameondoka  nchini  Nigeria  ikiwa  ni  chini  ya  masaa  24  tangu ...

No comments:

Post a Comment