EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Tuesday, July 16, 2013

PICHA: WANAJESHI WA TANZANIA WALIO UAWA DARFUL WAAGWA

























Capt. John Kivunge, a Tanzanian Staff Officer with JOC, reads a program of the brief ceremony. Prayers from a chaplain.Prayers from an Imam for the fallen peacekeepers. Military salute as the 'Last Post'  rings out by Nigbatt in honour of the fallen heroes. Start of the last journey home. ...

VIDEO: ILI UWE MWALIMU NI LAZIMA UWE "BAUNSA" KIASI HIKI??
























Mwalimu  akitumia  nguvu  ya  ziada  kuwakabili  wanafunzi  waliokuwa  wamechelewa  kuingia darasani... Haijaweza  kufahamika  mara  moja  kuhusu  mahali  ilipo  shule  hii...

AUNT EZEKIEL AMTOSA MUMEWE































Wengi  walitegemea  kuwa  Aunt  Ezekiel ataungana  na  mumewe Sunday  katika  kipindi  hiki  cha  mwezi  mtukufu wa Ramadhani  lakini  hali  imekuwa  ni  tofauti.... Aunt  anayetumia  jina  la  Rahma  baada  ya  kubadili  dini  ili  aolewe  na  mwanaume  huyo,   amemtosa  mkaka  huyo  na  kuendelea  kula  bata  nchini  huku  akidai  kuwa  mumewe  hana  mengi. "Sina  mpango  wowote  wa  kuondoka  nchini ...

DRC NI UWANJA WA VITA KATI YA TANZANIA NA RWANDA ( PROX WAR)





















PROX  WAR  au Proxy Warfare ni vita inayopiganwa kwa kupitia sehemu nyingine. Katika vita 'ya kawaida' mapigano huwa kati ya nchi na nchi.Kwa mfano, Vita ya Kagera ilkuwa kati ya Tanzania na Uganda, na mapambano yalitokea katika nch zote mbili. Katika proxy war hali ni tofauti. Nchi A inaweza kupigana vita na nchi B katika nchi C.Yaani kwa ufasaha zaidi, kwa mfano, kuna mapambano katika nchi C kati ya jeshi la nchi hiyo na waasi, kisha nchi A inapeleka askari wake kuilisaidia jeshi la serikali la nchi C, na nchi B inapeleka askari wake (au inasaidia kwa siri) kusaidia waasi wanaopigana na serikali ya nchi C. Naomba...

HATIMAYE LUDOVICK JOSEPH NAYE AACHIWA KWA DHAMANA


MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia kwa dhamana Ludovick Joseph anayeshitakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfred Lwakatare, baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miezi minne.Ludovick aliachiwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Aloyce Katemana baada ya kutimiza masharti ya dhamana yaliyotolewa Juni 10 mwaka huu.Washitakiwa hao waliofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Machi 18 mwaka huu, wanakabiliwa na shitaka la kutaka kumdhuru Mhariri wa gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky kwa kutumia sumu....

UKATILI: VIDEO YA MATESO YA KIJANA MWIZI AKISULUBIWA NA WANAKIJIJI BAADA YA KUVUNJA DIRISHA LA NYUMBA ILI AIBE


























Huyu  ni  mwizi  aliyenaswa  na  wanakijiji    nchini  Uganda  akijaribu    kuvunja  dirisha  la  nyumba  ili  aibe.... Wanakijiji  walipomnasa  walianza  kwa  kumpa  kichapo  kikali  kabla  ya  kumfunga  miguu  na  kumburuza  barabarani  huku  wengine  wakiendelea  kumshushia  kichapo VIDEO  YA  TUKIO: ...

DALADALA YANUSURIKA KUINGIA BUCHANI MWENGE
























Daladala lenye namba za usajili T 741 AEG baada ya kuhama njia na kuparamia mtaro uliopo jirani na bucha eneo la Mwenge. Daladala lenye namba za usajili T 741 AEG linalofanya safari zake kati ya Temeke na Mwenge asubuhi hii nusura liingie katika bucha iliyopo maeneo ya Mwenge jijini Dar katika barabara iendayo Afrika Sana.  Daladala hilo lilisaidiwa na mtaro uliopo mbele ya bucha hiyo baada ya dereva wake kushindwa kuliongoza na kuhama barabara.  Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwa eneo la tukio, daladala hilo halikuwa na abiria na hakuna mtu aliyejeruhiw...

WANAJESHI WENGINE WATATU WA TANZANIA WAFARIKI DUNIA HUKO SUDANI, MAPIGANO MAKALI YAIBUKA HUKO KONGO KATI YA SERIKALI NA WAASI WA M23






















WINGU zito limetanda kwa askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), katika nchi za Sudani Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).    Wakati Watanzania wakiendelea kuomboleza vifo vya wanajeshi saba wa jeshi hilo waliopoteza maisha katika Jimbo la Darfur, Sudani kwa kushambuliwa na waasi, nchini DRC yamezuka mapigano makali baina ya waasi na majeshi ya Serikali.     Mapigano hayo yameripotiwa kuibuka kati ya Wanajeshi wa Serikali na waasi karibu na mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).Msemaji wa wapiganaji wa waasi wa M23, ameliambia Shirika la Utangazaji la Uingereza...

MBOWE ATIWA MBARONI NA KUHOJIWA KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI


MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kutoa kauli za uchochezi dhidi ya jeshi hilo, vyombo vya dola na serikali kwa ujumla. Taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa na Msemaji wake, Mrakibu Mwandamizi, Advera Senso, imesema kuwa Mbowe amekuwa akitoa kauli ambazo zimekuwa na mlengo wa uchochezi na kuijengea jamii taswira hasi juu ya vyombo vya ulinzi na usalama na kuwafanya wananchi kuwa na hofu. Mbowe akiandamana na mawakili, Nyaronyo Kicheere na Peter Kibatara, alijisalimisha mwenyewe makao makuu ya polisi majira ya saa 8:30 mchana, mara tu baada...

No comments:

Post a Comment