Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kutoka (kulia) ni,
Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Mtwara Mjini, Ismaili Njalu. Katibu wa
Wilaya ya Mtwara mjini, Said Kulanga na Mwenyekiti wa Wilaya ya Mtwara
mjini, Salum Mohamed wakiwaonesha waandishi wa habari majelaha
waliyoyapata baada ya kupigwa na Wanajeshi wa Wananchi (JWTZ) katika
mkutano uliofanyika Makao Makuu ya Chama hicho Dar es
Salaam.--------------CHAMA cha Wananchi (CUF) kinaandaa utaratibu wa
kufungua kesi mahakamani dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu
uliofanywa na Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa
watendaji wa chama hicho.Akizungumza na waandishi...
BASI LA NAJMUNISA LAPATA AJALI NA KUUA WANNE DODOMA
Basi la Najmunisa linalofanya safari zake kati ya mikoa ya Dar es
Salaam na Mwanza limepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma na
kuua watu wanne huku likiacha majeruhi kadhaa.Basi hilo lililokuwa
linaelekea Mwanza lilipata ajali hiyo baada ya kupasuka tairi la
mbele.Mali za abiria inaelezwa zipo salama kutokana na uwepo wa Check
Point ya polisi jirani na eneo la ajali.
make_video('http://youtu.be/FZQPuD7KcNc','media_1966','http://www.itv.co.tz/media/image/19-JULY-AJALI1.jpg');
...
No comments:
Post a Comment