Goma -DRC.
WAKATI mapigano yakizidi kuwa makali kati ya wanajeshi wa DR
Congo (FARDC) na kundi la waasi wa M23, wanajeshi wa DRC wako hatarani
kushitakiwa kwa tuhuma za kuwatesa waasi na kunajisi maiti zao.
Wanajeshi hao wanatuhumiwa kwa kosa la kukiuka haki za binadamu
na sheria za Umoja wa Matifa (UN) inayokataza ukiukwaji wa haki za
binadamu huku ukikataza watuhumiwa na mateka wa kivita kufanyiwa vitendo
vyovyote vinavyo ashiria kukiuka haki zabinadamu badala yake mateka
wote wanatakiwa kushtakiwa kwa muujibu wa sheria.
Maiti
ya muasi wa M23 ikinajisiwa na Askari wa Congo,baada ya kukamatwa,
kuteswa hadi...
No comments:
Post a Comment