Taarifa za awali zinadai kwamba Mfanyabiashara Said Mohamed Saad ambaye
ni Mmiliki wa Home Shopping Centre (Dar), amwagiwa tindikali saa mbili
ya usiku huu maeneo ya Msasani City Mall ....
Taarifa hizo zinadai kwamba mtuhumiwa aliyefanya kitendo hicho
alitoka mbio, mlinzi akamkimbiza lakini
bahati mbaya akateleza na kuanguka na jamaa akawahi pikipiki na kutoweka
eneo la tukio ...
BAADA YA JANUARY MAKAMBA KUDAI KUWA MNYIKA NI "MNAFIKI".....ZITTO KABWE NAYE AMEAMUA KUINGILIA KATI MZOZO HUO
Hizi ni tweets za viongozi wetu wakitupiana lawama kuhusu swala la kodi ya line kiasi cha kuitana "MNAFIKI"....
...
No comments:
Post a Comment