Mgambo
wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata akinadada
wanaofanya biashara ya kuuza miili yao maarufu kama
Machangudoa
katika eneo la Sinza.
Picha hizi ( juu) zinaonesha namna walivyokuwa
wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
...
No comments:
Post a Comment