EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Thursday, August 8, 2013

MIHADHARA YA SHEIKH PONDA YAPIGWA MARUFUKU KATIKA ARDHI YA ZANZIBAR

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imempiga marufuku Katibu wa Jumuiya ya taasisi ya Kiislamu shekhe Issa Ponda Issa kuendesha mihadhara ya kidini katika ardhi ya Zanzibar yenye muelekeo wa kuleta mifarakano, chuki na uhasama.Makamo wa pili wa rais balozi Seif Ali Iddi alisema hayo wakati akiahirisha kikao cha Baraza la Wawakilishi cha bajeti kwa mwaka wa fedha 2013-2014.Balozi Seif alisema mahubiri ya sura ya uchochezi kamwe hayawezi kuvumiliwa yakiwa na lengo la kuiingiza nchi katika machafuko ya kidini ambayo madhara yake ni makubwa.Aidha balozi Seif alisema Serikali kamwe isilaumiwe kwa hatua itakazochukuwa...
Related Posts Widget For Blogger with ThumbnailsBlogger Templates 

"SIJAWAHI ONA MWANAUME MZURI KAMA PREZZO HAPA DUNIANI "...DIVA WA CLOUDS FM

Kwa  mara  nyingine  tena,  mtangazaji  wa  Clouds fm  maarufu wa  jina  la  DIVA  amejitosa Istagram  na  kuanza  kuisifia  suruali yake ( Prezzo)  huku  akiwaponda  wanaume  wa  kibongo  na  wale  wote  wanaomchukia  Prezzo.... Huu  ni  ujumbe wake. “The way my heart beats for u Mentiond of your name, One touch never enough you driving me Insane, swing me take you back, who am i to blame but myself, need you back in my life simple and plain, Crazy nights arguments running towards the door, lying to...

No comments:

Post a Comment