
Muimbaji wa ‘Niwe Nawe Milele’ Rehema Chalamila aka Ray C jana alifanya
interview ya kwanza ya TV tangu takriban miezi 10 iliyopita baada ya
kujichimbia kupata matibabu ya madhara aliyokuwa amepata kutokana na
matumizi ya madawa ya kulevya.
Akiwa na muonekano mpya, mchangamfu, aliyenawili, mrembo na mwenye
afya njema, Ray C alizungumza kwa undani kwenye The Interview ya Clouds
TV kuanzia namna alivyoingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, jinsi
yalivyomwathiri na namna alivyosaidiwa hadi leo amekuwa hivyo.
Ray C alisema aliingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kutokana na kushawishiwa na aliyekuwa mpenzi wake.
“I...
MCHUMBA WA MTU ATUPWA SEGEREA BAADA YA KUNASWA AKIJUZA JIJINI DAR

Siku za mwizi ni 40....
Kauli hiyo ya wahenga ilitimia Jumatatu iliyopita
kufuatia msichana Pili Baraka (21) aliyevishwa pete ya uchumba na mpenzi
wake hivi karibuni kujikuta akitupwa Gereza la
Segerea jijini Dar baada ya kunaswa kwa tuhuma za ukahaba,
Mrembo huyo alifikishwa kwenye Mahakama ya Sokoine Drive (Jiji) na
kusomewa shitaka na mwendesha mashitaka wa mahakama hiyo, Richard Magodi
mbele ya Hakimu Timothy Lyon.
Akisoma shitaka hilo, Magodi alisema: Agosti 5, mwaka huu, saa nane
usiku, Pili alinaswa kwenye maeneo ya Manzese jijini Dar akifanya
biashara ya ukahaba.
Aliposomewa shitaka lake hilo,...
No comments:
Post a Comment