msichana TRUSKEY kushoto na huyu wa kulia ni MARIA OBAMA |
Amejipatia umaarufu mkubwa duniani mara baada ya kauli iliyowashangaza wengi kwenye account yake ya twitter
TRUSKEY kaandika;I got(accidentally) kicked by malia obama today at lollapolooze.It was awesome****lollapolooze.
Ni kweli msichana huyu ana sababu ya kufurahia kwa kupigwa na mtoto wa rais?
KAMA ni umaarufu na wewe uko teyari kupigwa NGUMI na mtoto wa raisi?
No comments:
Post a Comment