EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Sunday, February 16, 2014

KUNDI LA VIJANA WAPATAO 40 WALIOHAMIA CCM TOKA CHAMA KIKUBWA CHA UPINZANI WAANIKA SIRI ZA RUSHWA ZA CHAMA HICHO MBELE YA MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA CCM ……………NA HII NDIO KAULI YAO WAKATI WA GHAFLA YA KUKARIBISHWA KWAO CCM………….SIKILIZA LIVE KIKAO HAPA................


KUSHOTO NI M?KITI UMOJA WA VIJANA CCM MTWARA VIJIJINI MH:SELEMAN SANKWA ,KATKATI KATIBU CCM MTWARA VIJIJINI Mh:SOLOMONI NA MWISHO NI KIONGOZI WA VIJANA WA KATA
NA: KASSIM NGUMBI........Mtwara

Uongozi Wa Umoja Wa Vijana Ccm Jana Umepokea Ujumbe Mzito Unaoambatana Na Kashifa Za Rushwa Na Makundi Ndani Ya Vyama Vingine Vya Siasa Nchini Ambavyo Vimechukua Dola Katika Baadhi Ya Maeneo Ndani Ya Halmashauri Ya Wilaya Ya Mtwara Kwa Upande Wa Mtwara Vijijini Katika Msafara Wake Jana Mwenyekiti Huyo Wa Vijana Wa Wilaya Katika Halmashauri Ya Mtwara Vijijini MH: Selemani Sankwa Alioambatana Na Katibu Wa Ccm Wa Wilaya MH: Saimon Walitembelea Katika Kijiji Cha Msimbati Ndani Ya Jimbo La Mbunge Ambaye Pia Ni Waziri Wan Chi Ofisi Ya Waziri Mkuu Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Mh: Hawa Ghasia Katika Mkutano Wa Ndani Wa Umoja Wa Vijana Uliokuwa Na Tukio Kubwa La Kuwakaribisha Vijana 40 Waliotoka Katika Vyama Vingine Na Kuhamia Chama Cha Mapinduzi Kwa Madai Ya Kutafuta Sehem Ambayo Watakuwa Wakisikilizwa Na Kushirikishwa Katika Mambo Mbalimbali Hasa Kwenye Fulsa Za Masuala Ya Kimaendeleo Bila Ubaguzi Kama Ule Ambao Wamesema Kuwa Wameuona Katika Vyama Wanavyotokea Kwa Sasa.  Katika Maelezo Yao Vijana Hao Mbele Ya Uongozi Huo Wa Chama Ngazi Ya Wilaya Walijieleza Kwa Awamu Ambapo Wengi Wao Walileta Malalamiko Ya Uonevu Kutengwa Na Rushwa Ndani Ya Vyama Hivyo Ambapo Moja Kati Ya Wazungumzaji Kwa Niaba Ya Vijana Wengine Aliyejitambulisha Kama AHMAD FADHILI Alisema Kuwa Kero Kubwa Ni Kuhusiana Na Suala La Ajira Ukizingatia Kuwa Msimbati Ndio Sehem Ambayo Gesi Imegundulika Kwa Hapa Mkoani Mtwara Na Kuna Makampuni Mengi Yamekuja Yanafanya Shughuli Mbalimbali Zikiwemo Zile Za Survey Lakini Wao Wamekuwa Hawapewi Kipaumbele Kama Wenyeji Isipokuwa Uongozi Wa Kijiji Ambao Ni Wa Chama Cha Cuf Pamoja Na Mtendaji Wa Eneo Hilo Wamekuwa Wakiwaleta Watu Toka Mjini Kuja Kufanya Kazi Huku Wengine Wakitokea Mikoa Mbalimbali Wakati Shughuli Wanazokuja Kuzifanya Hata Wao Wanazifaham.
DIWANI WA KATA YA MADIMBA MH: SADALA

Lakini Pia Kwa Upande Wake Diwani Wa Kata Ya Madimba Mheshimiwa SADALA Wakati Akitoa Neon La Kuwatoa Hofu Vijana Alikiri Kupokea Maneno Ya Kuthibitishwa Kiwa Vijana Wanapokwenda Kwa Mtendaji Kuomba Kazi Mara Nafasi Zinapotangazwa Huwa Wanaambiwa Watoe Shilingi Elfu Hamsini Suala Ambalo Si Zuri Kwani Ni Rushwa Na Mtu Huwezi Pata Pesa Bila Kufanya Kazi Hivyo Amewataka Vijana Kutoa Ushirikiano Kwa Kuwasema Wale Wanaofanya Vitendo Visivyoeleweka Kwa Jamii Hususani Kwao Vijana Wenyewe . Lakini Kwa Upande Wa Viongozi Walioko Ndani Ya Msafara Huo Kwa Upande Wake NDG Sankwa Alieleza Kusikitishwa Na Hali Hiyo Na Akaahidi Kukutana Na Uongozi Wa Serikali Ngazi Ya Wilaya Mpaka Mkoa Na Kujadili Suala Hilo Lakini Pia Katika Hali Nyengine Amewachangia Vijana Hao Tshilingi Elfu Ishirini Kama Pesa Ya Kufungulia Account Ya Bank Na Wasajiri Kikundi Chao Ili Waweze Kupata Mkopo Toka Halmashauri Lakini Pia Alisema Wao Kama Wenyeji Wa Ccm Wamewapokea Vijana Hao Na Waahidi Kuwapa Ushirikiano Wa Kutosha Ili Waweze Kukwamuka Na Hali Mbaya Ya Kimaisha Lakini Pia Ameweza Kuwapatia Mipira Miwili Kwa Ajili Ya Michezo Kwa Vijana Hao. Nae Katibu Wa Chama Wilaya NDG Solomoni
MUONEKANO WA TUKIO MBELE NI BAADHI YA VIJANA WALOHUDHULIA KIKAO
Akizungumzia Juu Ya Suala La Vitisho Kwa Vijana Wanavyofanyiwa Na Baadhi Ya Makundi Ya Vijana Wenzao Aliwataka Vijana Kuwa Na Moyo Wa Ukakamavu Na Kuamini Katika Kile Wanachokiamini Huku Wakichapa Kazi Kupitia Fulsa Mbalimbali Watakazopewa Lakini Pia Alieleza Hali Ya Ysalama Wa Mkoa Wa Mtwara Kuwa Sasa Ni Shwari Na Serikali Iko Machokuhakikisha Haibadiliki Na Kurudi Kama Awali Hivyo Chama Cha Mapinduzi Pia Ni Miongoni Mwa Wapenda Amani Na Iwapo Mtu Ataripotiwa Kutishia Maisha Yao Au Kufanya Lolote Baya Basi Wao Kama Chama Watamfikisha Kwenye Vyombo Vua Dola Waweze Kushughulikiwa.

No comments:

Post a Comment