Hati ya Usajili wa Emmanuel Okwi kama inavyoeneka kwneye system ya CAF.
Uongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli
kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini
Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji
imemzuia kuichezea Young Africana mpaka watakapopata uthibitisho kutoka
FIFA.
Young Africans ilikamlisha usajili wa mshambuliaji huyo tangu Disemba
15 mwaka 2013, na kupata hati ya uhamisho wake wa kimataifa (ITC)
ambayo iliwasilishwa TFF pamoja na fomu mama za usajili wa Ligi Kuu ya
Vodacom.
Baada ya kukamilisha zoezi hilo TFF ilipitisha jina lake kwa
kutupatia leseni no: 921225001 ambayo inamruhusu mchezaji kuichezea
Young Africans na kisha kulituma CAF Disemba 31, 2013 kwa ajili ya
mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika ambapo CAF nao walimuidhinisha
kuwa mchezaji halali wa Young Africans kwa mashindano hayo.
Cha kustaajabisha siku mbili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom
Kamati ya Maadili na hadhi za wachezaji wakamzuia mchezaji huyo
kuichezea Young Africans ilihali akiwa ameshaidhinishwa na TFF na CAF
kuwa mchezaji halali wa Young Africans.
Swali?? walikuwa wapi Kamati ya Maadili na Hadhi za Wachezaji
kujiridhisha juu ya usajili ambao ulishakamilika tangu Disemba 15 2013?
Wanakuja kutoa maamuzi hayo mwezi mmoja na nusu baada ya dirisha la
usajili kufungwa, ikiwa ni siku mbili kabla ya kuanza kwa mzunguko wa
pili wa Ligi Kuu ya Vodacom??
EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Friday, January 24, 2014
Hati ya Usajili wa Emmanuel Okwi kama inavyoeneka kwneye system ya CAF. Uongozi wa klabu ya Young Africans umeamua kuweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji imemzuia kuichezea Young Africana mpaka watakapopata uthibitisho kutoka FIFA. Young Africans ilikamlisha usajili wa mshambuliaji huyo tangu Disemba 15 mwaka 2013, na kupata hati ya uhamisho wake wa kimataifa (ITC) ambayo iliwasilishwa TFF pamoja na fomu mama za usajili wa Ligi Kuu ya Vodacom. Baada ya kukamilisha zoezi hilo TFF ilipitisha jina lake kwa kutupatia leseni no: 921225001 ambayo inamruhusu mchezaji kuichezea Young Africans na kisha kulituma CAF Disemba 31, 2013 kwa ajili ya mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika ambapo CAF nao walimuidhinisha kuwa mchezaji halali wa Young Africans kwa mashindano hayo. Cha kustaajabisha siku mbili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Vodacom Kamati ya Maadili na hadhi za wachezaji wakamzuia mchezaji huyo kuichezea Young Africans ilihali akiwa ameshaidhinishwa na TFF na CAF kuwa mchezaji halali wa Young Africans. Swali?? walikuwa wapi Kamati ya Maadili na Hadhi za Wachezaji kujiridhisha juu ya usajili ambao ulishakamilika tangu Disemba 15 2013? Wanakuja kutoa maamuzi hayo mwezi mmoja na nusu baada ya dirisha la usajili kufungwa, ikiwa ni siku mbili kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment