EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Thursday, October 17, 2013

Shafih Dauda amalizana na kamati ya maadili TFF

NA MSHAMU NGOJWIKE
MGOMBEA ujmbe wa TFF kupitia Kanda ya Dar es Salaam, Shaffih  Dauda amelipa faini ya milioni moja ambayo alipewa adhabu na kamati ya Rufaa ya maadili Tff.
shfii dauda
Dauda alipewa adhabu hiyo mara baada ya kukutwa na kosa la kusambaza barua ya Tff toka FIFA kwenye mtanadao wake amabazo tff hawakutaka nyaraka hizo zisambazwe kwenye vyombo vya habari na kutakiwa kulipa faini ya shilingi milioni moja ndani ya siku tatu na ageshindwa kulipa basi angefungiwa kwa mwaka mmoja kutojihusisha na mpira.
Alisema anashukuru kwa kulipa faini hiyo na kuwashukuru wadau mbali mbali waliomchangia na kufanikisha kulipa deni hilo.
SHAFII DAUDA KUSHOTO
"Naomba kutumia nafasi hii kwa kuwashukuru wadau mbalimabli kwa walionichangia kama shilinigi 1,550,000 kwa ajili ya kulipa deni hilo na sina cha kuwalipa zaidi ya ahsanteni" alsema.
Kwa sasa Dauda atakuwa miongoni mwa wagombea wa uchaguzi wa TFF ambao unatarajia kutafanyika Oktoba 27 mwaka huu. 
  

No comments:

Post a Comment