![]() |
| Raisi wa Uganda Yoeri Museven |
![]() |
Rais Museveni na chama chake tawala cha NRM wamekuwa madarakani tangu mwaka
1986. Lakini Lukwago anasema matamshi ya karibuni ya Museveni ni matokeo ya kile
anachosema kinaonekana ni mgawanyiko katika chama tawala.
Lukwago alisema maafisa wa utawala mara kwa mara wanakataa kufanya kazi na wapinzani kuhusu wasi wasi wa umma shutuma ambazo wawakilishi wa chama tawala wanazikanusha kwa kutokuwa na ukweli.
Lukwago alisema maafisa wa utawala mara kwa mara wanakataa kufanya kazi na wapinzani kuhusu wasi wasi wa umma shutuma ambazo wawakilishi wa chama tawala wanazikanusha kwa kutokuwa na ukweli.


No comments:
Post a Comment