Idara ya Kilimo mkoani Mbeya ikishirikiana na Chuo cha Kilimo cha Uyole, imeanza kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete, la kuutaka mkoa huo utenge maeneo kwa ajili ya kilimo cha mboga na matunda, ili kuinua mapato ya mkoa huo.
![]() |
| Raisi Jakaya Kikwete akihutubia |
Eneo la Mbeya ni moja wapo ya maeneo ambayo yametengwa na serikali, ili kutumika kuendeleza chakula cha mboga na matunda katika harakati za kuinua uchumi wa nchi.

No comments:
Post a Comment