Hatimaye mzozo uliokuwa kati ya Aliyekuwa
kocha mkuu wa klabu ya samba Patrick Lewing na klabu hiyo umefikia tamati hatua
hiyo imekuja mara baada ya uongozi wa klabu hiyo kukubali kumlipa Lewing kiasi
cha pesa ambacho alikuwa akiidai Simba maelezo ya kuthibitishwa toka kwa
mwenyekiti wa Simba bw Aden Rage yanasema kuwa wamekubaliana na lewing yeye
pamoja na kamati yake kuwa atakabidhiwa dola Laki saba ikiwa Laki sita ni
malipo ya madai yake na Laki moja kama fidia ya usunbufu Rage alitoa kauli hiyo
jana alipokuwa akifanya mahojiano na moja ya kituo cha Redio hapa nchini
kuhusianana sakata hilo hata hivyokiongozi huyoemeeleza kuwa Lewing atatumiwa
pesa zake muda mfupi mara baada ya kuwasirinchini kwao ufaransa ikumbukwe kuwa
Lewing ameifundisha samba nusu msimu akimpokea Mirovan Cikovich na baadae
kutimuliwa baada ya msimu kumalizika kutokana na kile kilichodaiwa kushindwa
kuipa mafanikio klabu hiyo na nafasi yake kwa sasa imechukuliwa na kocha mzawa
wa Tanzania Abdallah Kibaden King.

No comments:
Post a Comment