Mchezaji machachali ambaye msimu uliopita alichezea Arsenal jana amekamiliza azma yake ya kuitema klabu hiyo katika msimu ujao mara baada mchezaji huyo kusaini mkataba na clabu ya Juventus kwa makubaliano ya kitita ambacho yeye alikuwa akikitaja toka mwamzo
No comments:
Post a Comment