EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Thursday, August 2, 2012
OKWI AIMWAGA SIMBA RASMI BAADA YA KUFUDHU MAJARIBIO AUSTRALIA.
Kiungo mshambuliaji mganda ambaye amefanya vyema sana katika michuano ya ubingwa wa taifa nchini Tanzania akiwa na clabu yake ya Simba,kwa sasa taarifa zilizoifikia clabu hiyo ni ya kukatisha tamaa kabisa kuhusu mchezaji huyo kurejea tena na kukipiga Simba kutokana na kiungo huyo kufudhu majaribio yake ambayo alikuwa akiyafanya huko Australia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment