EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Friday, October 28, 2016

HENDERSON WA LIVERPOOL NDIYE MCHEZAJI ALIYETEMBEA ZAIDI MSIMU HUU

JORDAN HENDERSON
Mtandao wa kimataifa wa LFC  umeripoti muda mfupi uliopita kuwa tafiti zinaonyesha kwamba kiungo wa kati wa klabu ya Liverpool Jordan Henderson ndiye mchezaji aliyeongoza kutembea umbali mrefu zaidi akiwa uwanjani kwenye ligi kuu uingereza msimu huu kuliko mchezaji yeyote anayeichezea ligi hiyo maarufu duniani.
kwa mujibu wa mtandao huo ni kwamba Henderson ametembea  (106.49km)

No comments:

Post a Comment