Moja Kati Ya
Walimu Mashughuli Wa Mchezo Wa Tenis Nchini Ambaye Pia Kwa Kipindi Cha Nyuma
Alikuwa Akifundisha Mchezo Huo Mkoani Mtwara Mwl: Ali Hassani Amewataka Wadu Wa
Michezo Mkoani Mtwara Na Kwingineko Kote Nchini Kumsaidia Vifaa Vya Michezo
Vinavyohusiana Na Mchezo Huo Ili Aweze Kueendelea Kufufua Vipaji Vya Watoto
Wadogo Wali Na Ndoto Za Kucheza Mchezo Huo MW: Ali Alikutana Na Swacotz Forum Mkoani
Mtwara Na Kuiambia Kuwa Anashindwa Kuendeleza Zoezi Hilo Muhimu Kutokana Na
Kukosa Nguvu Ya Kuendeleza Mchezo Huo Kwakua Uwzo Wake Kifedha Si Mzuri Hata Hivyo Alisema Kuwa
Awali Alipata Wadhamini Lakini Kutokana Na Kadhia Ya Vurugu Za Masuala Ya Gesi
Wadau Hao Walishindwa Kumsaidia Kwani Waliondoka Mkoani Kurudi Kwao Nje Ya Nchi
Kwa Kuhofia Vurugu Hizo Suala Ambalo Lilimrudisha Nyuma Sana Na Kwa Sas Amesema
Amejaribu Kutafuta Vifaa Baadhi Kwa Nguvu Zake Na Anaomba Wadau Kumpa
Sapoti ya ukarabati wa uwanja atakaoutumia
kwa shughuli hizo ambao upo maeneo ya shangani East mtwara na vifaa vingine
kama vile neti na vitu ambavyo vinahitajika kwa ukarabati ni rangi na vingine
vidogovidogo.
ZAIDI MSIKILIZE HAPA AKIELEZA………………………
No comments:
Post a Comment