Mkiti WA CUF PROF:IBRAHIM LIPUMBA |
Hivyo wamemtaka kushughulikia maendeleo
ya chama chake na kuwaeleza wananchi nini chama chake kitafanya ikiwa
mgombea wa chama hicho atashinda katika nafasi ya uwakilishi jimbo la
Kiembesamaki.
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar,
Shaka Hamdu Shaka alisema hayo wakati akimnadi mgombea wa nafasi ya
uwakilishi jimbo la Kiembesamaki, Mahmoud Thabit Kombo katika eneo la
Buyu Kisiwani Unguja .
Shaka alikipuuza kitendo cha Mwenyekiti
huyo wa CUF aliyetaka CCM kama ina ubavu, iwafukuze wanachama wake
watatu wanaotetea mfumo wa serikali tatu, wakiwemo mawaziri wakuu
wastaafu, Dk Salim Ahmed Salim na Joseph Warioba na mwanasiasa mkongwe,
Joseph Butiku.
HABARI LEO
No comments:
Post a Comment