Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoratibu mambo ya
kibinadamu, imesema wakurugenzi wa mambo ya dharura wa mashirika kadhaa ya
Umoja wa Mataifa, na mashirika yasiyo ya kiserikali hii leo wanaanza ziara yao
nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
katibu mkuu UN-Ban ki Mun |
Katika ziara hiyo inayotarajiwa kumalizika Jumamosi,
ujumbe huo utajadili njia za kuongeza uungaji mkono katika mambo ya kibinaadamu
nchini humo.Pia Ijumaa watatembelea miji ya Bossangoa na Kaga
Bandoro kuangalia matokeo ya mgogoro na juhudi za misaada.
No comments:
Post a Comment