KLABU
ya Tottenham itamenyana na West Ham katika Robo Fainali za Kombe la
Ligi, maarufu kama Capital One wakitakiwa kulipa kisasi cha kufungwa
mabao 3-0 katika Ligi Kuu mwezi huu.
Spurs
ilipigana na kutoka nyuma kwa mabao 2-1 katika dakika za nyongeza na
kuipiga Hull Jumatano mabao 8-7 kwa mikwaju ya penalti.
Katika
mechi nyingine za hatua hiyo ya michuano hiyo, Manchester United
itasafiri hadi Stoke wakati Manchester City itamenyana na Leicester.
City
haijatwaa taji hilo tangu mwaka 1976 walipoifunga Newcastle 2-1, na
walika The Magpies waliotolewa na timu hiyo katika Raundi ya Nne
Jumatano, mabao ya Alvaro Negredo na Edin Dzeko Uwanja wa St James Park
.
Kept apart: Manchester United (above) and Manchester City both face trips away in the quarter-finals
baadhi ya wachezaji wa timu ya man city |
No comments:
Post a Comment