Jackob Zuma Rais wa afrika kusini |
Rais wa Afrika Kusini amesisitiza kwamba, serikali ya Bangui inapaswa kutoa ushirikiano wa lazima ili kuhakikisha kwamba, amani na usalama vinarejea tena katika Jamhuri ya Afrika ya Kati. Rais Zuma amesema hayo katika mazungumzo yake ya Rais Francois Hollande wa Ufaransa aliyeitembea Afrika Kusini. Hollande amesema katika mazungumzo hayo kwamba, Paris ina wasi wasi wa hali hiyo ya ukosefu wa amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kuenea pia katika nchi jirani na nchi hiyo.
No comments:
Post a Comment