Ni jambo la wazi wamba biashara ya madawa ya kuleya ni biashara ambayo mara nyingi hubebwa na watu wenye nazo au wenye
madaraka fulani makubwa.Ni biashara ambayo ina faida kubwa na ya haraka
pengine kupita aina nyingine yeyote ya biashara (halali na haramu).
Na
kutokana na nguvu ya vyombo mbalimbali vya dola ulimwenguni katika
kupambana na biashara hii, ni wazi kwamba bila kuwepo na connection za
hali ya juu,utekelezaji wa biashara hii ungekuwa mgumu sana…
Ndio maana vita dhidi ya biashara hii haramu ni ngumu na ambayo
inahitaji umakini wa hali ya juu zaidi katika kukabiliana nayo endapo
kuna nia ya dhati ya...
No comments:
Post a Comment