EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Monday, July 29, 2013

SHILATU ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA HATIMAYE AZIKWA

Mkuu wa wilaya mstaafu azikwa jana makaburi ya Kinondoni

 Jeneza lenye mwili wa Marehemu Shilatu likipelekwa eneo atakalozikiwa maeneo ya makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Enzi za uhai wake, marehemu aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya na kulitumikia Taifa kwa moyo wake wote.

No comments:

Post a Comment