Nape Nnauye ameamua kuvunja ukimya na kutoa utetezi wake kuhusu
kauli yake chafu iliyochapishwa na gazeti la Mtanzania
likimtuhumu kuwatusi wazee waliopendekeza uwepo wa serikali
tatu.....
Huu ni utetezi wake:
"Nimestushwa sana na stori ya gazeti la Mtanzania inayodai kuninukuu
kuwa
nimesema wazee waliopendekeza serikali tatu wanasubiri kufa!
Kwakweli nimesikitishwa sana hata na jinsi maneno ndani yalivyopangiliwa
kiasi kwamba inanipa tabu kuamini kama mhariri aliipitia hii stori
ukiachilia...
No comments:
Post a Comment