EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Friday, November 16, 2012
DIAMOND ETI UMEKOPI!!!
Moja kati ya track ambayo inafanya pouwa katika industry ya bongo fleva ya kwake Nassib Abdul AKA Diamond ambayo amefanya kwa producer Maneck eti kwamba ameKOPI kutoka kwa H Baba na Q Chiller, na ngoma hiyo inayoitwa Nataka Kulewa. Ila Diamondi mpaka sasa hajazungumza chochote kuhusiana na kuKOPI kwa ngoma hiyo!!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment