.TIMU ya Soka ya Yanga imefanikiwa kuwatoa timu ya Komorozine, ya Comoro kwa mabao 12-2 baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabo 5-2.
Mabao ya yanga yamefungwa na Mrisho Halfani Ngassa aliyepiga mabao tatu 'hat trick',Simon Msuva na Hamisi Diego Kiiza
wachezaji wa Yanga wakishangilia kwa pamoja moja ya mabo yao msimu huu.
Mrisho halfani Ngassa mzee wa hat trick
Jembe Simon Msuva Kazini
KUTOKA COMORO
Full TIME
Komoro 2-5 Young Africans
Yanga inasonga mbele kwa jumla ya mabao 12-2
- Mabao ya Yanga yamefungwa na Ngassa (Mabao matatu), Kiiza na Msuva.




No comments:
Post a Comment