Kwenye
baiskeli! Wachezaji wa England wakifanya mazoezi kweney gym
ya hotel tab Royal Tulip baada ya kurejea kambini kwao Rio de Janeiro,
kufuatia kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Italia jana katika mchezo wa
Kombe la Dunia
Raheem Sterling akinywa kinywaji cha kuongeza nguvu wakati anafanya mazoezi gym

No comments:
Post a Comment