Afisa michezo Mtwara Vijijini Nicolous mmuya akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao |
Uongozi wa kamati ndogo ya saidia ndanda ishinde unaoongozwa na Afisa michezo wa mkoa wa mtwara Ndg Rogers Bahati akishirikiana na afisa michezo wa manispaa ya mtwara ,ikindani Bi:Yusura Kayombo Pamoja na afisa wa michezo wa halmashauri ya Mtwara vijijini Ndg Nicolous MMuya jana wamewakutanisha viongozi na wachezaji wa timu ya ndanda na wazee
maarufu pamoja na wale waliowahi kushiriki michezo enzi za ujana wao.
mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoani mtwara MTWAREFA Ndg HashimKambi Akizungumza na vijana wa ndanda fc |
katika chakula cha pamoja cha jiono ili wazee hao waweze kuwapa vijana wao na mbinu za kimichezo ambazo zitswafanya waweze kushinda katika mechi zao zilizosalia.
katika ghafla hiyo iliyofanyika jana kuanzia saa moja usiku mpaka majira ya saa nne za usiku katika hoteli ya Pensura mtwara mjini ambayo pia ilihuzuriwa na viongozi wengine wa michezo akiwemo mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoani mtwara Ndg Hashim Kambi.
moja kati ya wazee waliohudhulia |
wazee mbalimbali akiwamo mzee dogoa walizungumza kwa kuwapa mifano vijana hao ya namna ya kutafuta ushindi katika mechi zao hususani kwa kipindi hiki cha lala salama lakini pia kwa upande wake mwenyekiti wa Mtwarefa NDG Kambi yeye aliwaahidi vijana wa ndanda kuwa chama cha soka mkoani mtwara,
wachezaji wa ndanda wakisikiliza maelezo toka kwa viongoz |
KILA LA KHERI NDANDA HAPO KESHO.
No comments:
Post a Comment