MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi ya makala
iliyodaiwa kuwa ya uchochezi iliyokuwa inawakabili Meneja Uendeshaji Biashara
wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Theophil Makunga, Mwenyekiti
wa zamani wa Chadema Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba na aliyekuwa Mhariri
Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima ambaye sasa ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa
Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda ambapo wameibuka kidedea baada ya
ushahidi upande wa mashitaka kutojitosheleza
No comments:
Post a Comment