EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Saturday, November 16, 2013

UFARANSA HATARINI KUKOSA KOMBE LA DUNIA BAADA YA MIAKA 20

UFARANSA imejiweka hatarini ya kukosa fainali za kwanza za Kombe la Dunia baada ya miaka 20, kufuatia kipigo cha mabao 2-0 mbele ya Ukraine usiku wa jana.
 
Katika mchezo huo ambao Ufaransa ilimpoteza Koscielny aliyetolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 90, mabao ya Ukraine yalifungwa na Roman Zozulya dakika ya 61 na Andriy Yarmolenko kwa penalti dakika ya 83.
 

Joto hasira: Beki wa Ufaransa, Laurent Koscielny akizinguana na Oleksandr Kuch

No comments:

Post a Comment