BAO
pekee la Cristiano Ronaldo dakika ya 82 limeipa usindi wa 1-0 Ureno
katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali
za Kombe la Dunai usiku wa jana dhidi ya Sweden, Uwanja wa Estadio da Luz.
Ureno sasa itahitaji kuulinda ushindi huo katika mchezo wa marudiano Jumanne mjini Stockholm ili kukata tiketi ya kufuz michuano ya kombe la dunia nchini Brazil mwakani.
No comments:
Post a Comment