EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Saturday, November 2, 2013

ROBERT LEWNDOWSKI ATOA SALAM KWA ARSENAL APIGA HATTRICK KATIKA USHINDI WA 6-1DHIDI YA STUTTGART 6-1!

LEWANDOWSKI-SHUJAA

Kiungo mshambuliaji wa borussia dortmundi Robert Lewandowski amepiga mabao 3 wakati  Dortmund ilipotoka nyuma na kuibamizaVfb Stuttgart mabao 6-1 na kutua kileleni mwa msimamo  wa  Bundesliga.

Karim Haggui aliifungia Stuttgart Bao lao mapema lakini Sokratis Papastathopoulos akasawazisha kwa kichwa na Marco Reus kufunga Bao la pili kwa Dortmund.

Ndipo zikaja Bao 3 za Lewandowski na Pierre-Emerick Aubameyang kumalizia Bao la 6. mabao hayo matatu nikama salam kwa Asernal kwani Asernal inakibarua cha kusafiri hadi Ujerumani katika mchezo wa wa ligi ya mabingwa barani ulaya

katiak mchezo wa kwanza Asernal ilikula kipigo cha bao 2-1 nyumbani emirates

No comments:

Post a Comment