
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoa kali
ya mwaka baada ya kunaswa akiingia ‘supermarket’ akiwa ametinga taulo.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland nchini
Marekani ambapo staa huyo amekwenda kwa ajili ya kufanya shoo kisha
kupigwa picha hiyo na rafiki yake ambaye aliiweka mtandaoni ikimuonesha
akiwa amefunga taulo kwenye matiti.
Mwandishi wetu alipomuuliza Shilole kulikoni kupitia mtandao wa Instagram, alifunguka:
“Huku
watu wanaishi kizungu hakuna mtu anayeshughulika na maisha ya mwenzake
kila mmoja anahangaika na mambo yake kwa hiyo siyo ajabu mimi kuvaa
taulo...
WANASHERIA WA ETHIOPIA WAAPA KUMSHITAKI BETTY KWA KUFANYA NGONO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

Wakati baadhi ya watanzania wakifurahia madudu ya washiriki wetu
ndani ya jumba la Big Brother, wenzetu wa Ethiopia wameanza
kuchukua hatua stahiki dhidi ya mshiriki wao aliyekubali
kufanya mapenzi hadharani....
Kundi la wanashiria toka Adds Ababa limetangaza kuwa kwa sasa
lipo katika hatua za mwisho za kukamilisha mashitaka dhidi ya
mshiriki wa mwaka huu ...
JESHI LA MISRI LAMUONDOA MADARAKANI RAISI MOHAMMED MORSI

jeshi nchini Misri limemuondoa
madarakani Rais aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasia nchini humo
Mohamed Morsi na imemteuwa kiongozi wa muda wa nchi baada ya maandamano
makubwa yanayoipinga serikali.Akihutubia
kwa njia ya televisheni jumatano jioni, mkuu wa jeshi, Abdul Fatah
Khalil Al-Sisi alisema katiba ya Misri imesitishwa kwa muda na mkuu wa
mahakama ya katiba ameteuliwa kuwa kiongozi wa muda nchini humo.
Sisi
alitangaza kwamba jeshi linaangalia watu wa Misri kufuatana na
maandamano makubwa ya upinzani yakidai kuwa Rais Mohamed Morsi
ajiuzulu.Kufuatia
hotuba ya kwenye televisheni Bwana Morsi alitoa...
AJALI ZAENDELEA KUTUMALIZA WATANZANIA.....TUNAOMBA RADHI KWA PICHA

Ajali hii ilitokea jana jioni tarehe 02/07/2013, baada ya gari dogo
lililokuwa linatokea maeneo ya Ubungo kwenda uelekeo wa Buguruni
kumgonga mwenda kwa miguu aliyekuwa anavuka barabara katika maeneo
Gereji (garage)...
Damu
ilimtoka kwa wingi sana mara baada ya ajali katika maeneo ya kichwani,
na hapo ilipotokea ajali kuna kivuko cha waendeo kwa miguu
Darubini L...
MAHAKAMA YAWAACHIA HURU VIONGOZI WA CHADEMA BAADA YA MWIGULU NCHEMBA KUSHINDWA KUTHIBITISHA AINA YA TUSI ALILOTUKANWA

Mwita Waitara
Mahakama
ya Hakimu Mkazi Mjini Singida jana imetupilia mbali kesi iliyokuwa
inawakabali viongozi wawili wa CHADEMA Ndugu Mwita Waitara ambaye ni
afisa sera na utafiti makao makuu na mshauri wa chama hicho Dk Kitila
Mkumbo.
Katika hukumu yake aliyeiyosoma mbele ya wakili wa washtakiwa hao
Tundu Lissu, hakimu wa Mahakama hiyo Masham alisema kuwa washatakiwa
hawana kesi ya kujibu kwa kuwa mashahidi wa serikali walishindwa
kuthibitisha aina ya matusi yaliyodaiwa kutolewa na washtakiwa.
Aidha,
hakimu huyo alisema kwamba upande wa serikali walishindwa kumleta
shahidi muhimu katika kesi hiyo...
"GEREZANI KUMENIFANYA NIMJUE MUNGU VIZURI SANA"....HII NI INTERVIEW YA LULU MICHAEL

Kwa mara ya
kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya
interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu.
Lulu aliye
na muonekano wa ‘udada’ zaidi alihojiwa jana kwenye kipindi cha Take One
cha Clouds TV kinachoendeshwa na Zamaradi Mketema.
Katia interview
hiyo, Lulu aliongea masuala mengi kuhusu maisha yake ya sasa, mipango
yake na mengine lakini akidai kuwa hatopenda kuongelea suala la uhusiano
wake na Kanumba kwakuwa anahisi bado hajawa tayari ila muda ukifika
atafunguka mengi. Haya ni baadhi ya masuala aliyoyazungumza.Kuhusu uzinduzi wa filamu yake mpya Foolish AgeNinaplan
kufanya...
MACHANGUDOA WAULAANI UJIO WA OBAMA....WANADAI HAUKUWA NA PESA IKILINGANISHWA NA ULE WA BUSH

Katika hali ilisiyokuwa ya kawaida, machangudoa wameulalamikia ujio wa Rais Barack
Obama kwa kile kinachodaiwa kuwa haukuwa na faida yoyote kwa kukosa dili za
pesa.
" Tumesikitishwa sana na ujio wa Obama kwani tulikuwa tumejipanga
kupiga hela ndefu sana .
"Bahati mbaya watu wake tuliokuwa
tunategemea kuwanasa walikuwa busy na wale wa mikoani walizuiwa" Walisema akina dada hao.
Machungudoa hao wanadai kuwa kipindi cha Bush alipokuwa Rais ambaye alikaa
nchini karibu wiki moja walinufaika sana ambapo wengi wao walijenga
majumba kwa pesa za ziara ya Bush...
"SUGU AMESAFISHWA KWA KUMTUKANA WAZIRI MKUU. FIKIRIA TUSI HILO LINGETOKA KWA MLALA HOI "...MBWANA

KILA
mtu anajua kuwa sheria na haki ni vitu viwili tofauti. Usilazimishe
kupata haki, kwasababu sheria imeonyesha juu ya madai yako. Kufanya
hivyo ni kujipotezea muda wako unaoweza kuutumia katika kazi nyingine za
maendeleo yako.
Pamoja
na yote hayo, lakini wakati mwingine si sahihi kujificha kwenye
mhimili
wa kisheria kwa kufanya mambo ambayo ni tofauti katika jamii. Kila
mmoja anapaswa kuishi kwa upendo bila kuweka u-mimi, vyama vyetu na
mengineyo pia.
Nasema
haya baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama
‘Sugu’kutoka (CHADEMA)kuachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Mkoa wa
Dodoma, kwa...
MAMA WA MIAKA 52 AKAMATWA KWENYE CHUMBA CHA MTIHANI AKIMFANYIA MTIHANI BINTI YAKE

Mwanamke mmoja mfaransa (52) amejikuta mikononi mwa polisi
wa jiji la Paris katikati ya mwezi june, baada ya kukamatwa kwenye chumba cha
mtihani akimfanyia mtihani wa Kiingereza mwanae mwenye umri wa miaka 19, huku
akijiweka kisichana zaidi wasimshutukie.
Ripoti kutoka nchini humo zinasema mwanamke huyo
aliyejulikana kwa jina la Caroline D aliingia kwenye chumba cha mtihani akiwa
amevaa skin jeans na viatu aina ya Converse ili aonekane kama mwanae.
Lakini jicho makini la msimamizi wa mtihani lilimnasa mama
huyo kwa kuwa msimamizi alikua tayari alishamuona mwanae wakati anafanya
mtihani wa Philosophy, kwa hiyo akamshtukia mama huyo...
"KAMA BABA YAKO ANGEKUWA NI SHOGA, WEWE BARACK OBAMA USINGEZALIWA"...HII NI KAULI YA WANANCHI WA KENYA

Akiwa nchini Senegal,Rais Obama alinukuliwa na vyombo vya
habari akiyasisitiza mataifa ya afrika kuhusu kutambua uwepo wa
MASHOGA na kwamba haki zao za msingi ni lazima ziheshimiwe...
Kauli hiyo imewachefua wengi hasa viongozi wa dini nchini Kenya .
Jana, kiongozi wa kiislamu alimuuliza obama swali gumu sana
kwamba "Atajisikiaje endapo atabaini kuwa watoto ...
TUKIO LA KUBAKWA KWA MSANII MAARUFU WA BONGO MOVIE....

Kuna habari mbaya ambazo zilianza kusambaa mtandaoni jana.Habari
hizo zinazomhusu msanii maarufu wa bongo movie ambaye anadaiwa
kubakwa (Mtungo ) na wanaume kadhaa.
Habari hizo zinadai kuwa, Msanii huyo wa kike mwenye jina kubwa
hapa nchini alikutwa na balaa hilo baada ya kuwachanganya
kimapenzi washikaji wawili ambao ni kama marafiki na hivyo
wakaamua ...

No comments:
Post a Comment