Mara baada ya matokeo kutangazwa wanafunzi wa royal
wanaompenda rais huyo walishindwa kujizuia hisia zao hivyo walimchukua kiongozi
huyo mpya na kupita naye mitaani huku wakiimbaq kwa furaha hatimaye msafara
uliingia mitaa ya Manzese na kumpeleka kwa wenyeji wa mtaa hu ambapo Bw: Mtenzi
alipokelewa na kufanyika kikao kikubwa huku ngoma na mayowe vikitawala.
| safari ya ilianzia hapa |
hostel za sinza ambako huko mapokezi yalikuwa zaidi ya uale
ya Manzese hali ilikuwa si ya kawaida mpaka baadhi ya wanafunzi waliangua
kilio.Sherehe hizo zilimalizika majira ya saa tatu za usiku ambapo watu wote
walirejea majumbani kwao salama isapokuwa mmoja tui kati yao alipoteza simu yake
ya kiganjani.
Mtenzi mwenyewe amesema anajisikia fahari kwa kile
alichokiona na anaahidi kutoa ushirikiano kwa wote waliompa ushirikiano mwisho
amesema amepanga kufanya tafrija fupi ya kuwashukurui wapiga kura wake kwani
hakudhani kama angeshinda kwa namna ushindani ulivyokawa mkubwa dhidi ya
mgombea mwenzake. | kivumbi barabara ya morogoro kuelekea manzese |
| Rais Mtenzi akiongoza msafara kwenda manzese |
| maeneo ya mitaani |
| Rais Mtenzi akipokelewa Manzese Royal Hostel |
| Time ya usiku mambo yalikuwa hivi |
No comments:
Post a Comment