EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Thursday, August 9, 2012
MTIBWA SUGAR YAIBAMIZA AZAM BAO MBILI SIFURI super 8 leo.
Timu ya mtibwa sugar leo imeonyesha makucha yake mara baada ya kuibamiza timu ya walamba kon wa Azam bao 2-0 leo katika mechi ya super 8 iliyopigwa jioni katika uwanja wa Chamaz jijini Dar es salaam ambao unamilikiwa na timu hiyo ya Azam tukio hili limekuja wakati ambao azam wamekuwa wakisheherekea kupata kocha mpya aliyewasili nchini hivi juzi na kupokelewa na timu hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment