EBENEZA MARCH 9 2014
SWACO
royal
tt
NIMO
mvuto
Wednesday, July 25, 2012
Leo mnamo majira ya saa nane mchana nusu faina ya kwanza ya kombe la kagame itapigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ambapo Timu ya As VITAR ya Kongo itapambana vikali na AZAM FC ya Dar es salaam baada ya walamba icecream hao toka mbande chamazi kuiangamiza simba jana kwa bao 3-1 wadau wote kaeni tayari kwa mchezo huo mkali zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment