NA MSHJAMU NGOJWIKE,Dar es Salaam.
TIMU ya soka ya Wachezaji
wa "Twiga Stars" imewasiri jijini Dar es Salaam wakitokea Lusaka Nchini Zambia, baada ya kupata kipigo cha mabao 2-1 katika mashindano ya kufudhu m
kombe la afrca kwa wanawake litakalofanyika Mjini Banghue mwakani.
Timu ya wanawake ya tanzania twiga stars wakiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa
mwalimu Nyerere Dar, leo mchana wakitokea Zambia
MCHEZO huo twiga walipotezaa kwa mabao 2-1 dhidi ya Zambia hapo jana . KILA LA KHERI TWIGA
STARS KATIKA MCHEZO WA MARUDIANO
No comments:
Post a Comment