EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Wednesday, February 26, 2014

CHADEMA YAENDELEA NA KAMPENI IRINGA


Kamanda Mawazo akiwa na makamanda wa Magulilwa wakiimba na kucheza kabla ya mkutano wa kampeni

Katibu Mkuu akifurahia jambo na mtoto mdogo wa Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa Magulilwa

Mgombea Grace Tendega akisalimiana na wakazi Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa kampeni

Mgombea akisalimiana na wananchi wa Magulilwa

Igumla, Kata ya Luhota, mgombea akisalimiana na wanafunzi

No comments:

Post a Comment