EBENEZA MARCH 9 2014

EBENEZA MARCH 9 2014

Monday, July 29, 2013

IDDI AZANI ATANGAZA KUJIUZARU KWA TUHUMA ZA MADAWA YA KULEVYA


  MBUNGE wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan, amesema yupo tayari kujiuzulu ubunge, ikiwa itabainika anajihusisha biashara ya dawa za kulevya. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya kutajwa katika moja ya barua iliyosambazwa katika mitandao ya kijamii, baada ya mtu anayedaiwa kukamatwa China na kuwatuhumu watu kadhaa akiwamo Idd Azzan. Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu sakata hilo, alisema hatua ya kuhusishwa na biashara haramu ya dawa za kulevya, ni kutotenda haki mbele ya jamii hasa wapiga kura wake na Taifa kwa ujumla. Alisema mtu aliyendika barua ya tuhuma dhidi yake, ni wazi amedhamiria kumshushia heshima na huenda akawa ana...
Related Posts Widget For Blogger with ThumbnailsBlogger Templates TUPE MAONI YAKO

JACK WOLPER AMJIBU MBAYA WAKE ALIYETANGAZA KUWA YEYE NI KAHABA

  Msanii  nyota  wa  filamu  bongo, Jacqueline Wolper   amewataka  wasanii wa  bongo  movie  kuacha  tabia  ya  kupigana  majungu  ya  kinafiki  ambayo  huchangia  kujenga  bifu  za  kijinga.... Akiongea  na  mpekuzi  wetu, wolper  alidai  kuwa  kuna  mipaka  ya  watu  kuishi  lakini  kuna  baadhi  ya  wasanii  wanaamini  kwamba majungu  ndo  mshahara  wao  kiasi  kwamba  wasipomsengenya  mtu  basi  hawawezi ...
TUPE MAONI YAKO

UKOO WATISHIWA KUTEKETEZWA KWA USHIRIKINA HUKO TABORA

Watu watatu wa ukoo mmoja wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na imani za kishirikina katika Wilaya ya Nzega Tabora, huku ujumbe mkali wa kuuawa kwa watu wengine ukiachwa katika Kijiji cha Nsanga.   Tukio hilo lilitokea katika kijiji hicho kilichopo Kata ya Ikindwa Nzega, Julai 25 mwaka huu, ambapo Mkuu wa Wilaya ya Nzega Bituni Msangi alisema sababu ya mauaji hayo ni kukithiri kwa imani za kishirikina kwa baadhi ya wananchi wa kijiji hicho. Aliwataja waliouawa kuwa ni Catherin Shija (65), Fransnc Kaliki (69) pamoja na Maria Kulwa (52) wote wakiwa ni wa ukoo mmoja wakiishi katika kijiji hicho. Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho alisema watu wanaofanya mauaji hayo...

No comments:

Post a Comment