Mtoto
huyo aliyeokotwa huko katika mtaa wa mlandege saa mbili asubuhi
amekutwa tayari akiwa ameshafariki ila polisi wanamshikilia mama mmoja
ambaye jina lake halikupatikana hadi tunaingia kuziandika habari hizi,
polisi
wamelazimika kumkamata mwanamama huyo kufuatia kauli za majirani
wakimtuhumu kuwa huyo mtoto ni wake kwani alikuwa na mimba na ghafla
haipo na pia uchunguzi unaonyesha kuwa ni kama anauhusika japo bado
polisi hawajatowa tamko kufuatia mahojiano hayo japo waandishi wa
thesuperstarstz waliopo huko iringa walifika eneo husika na baadae
polisi lakini walijibiwa kuwa wasubiri hadi uchunguzi ukamilike.
|
No comments:
Post a Comment